Breaking News

Sunday, June 11, 2017

Marekani yafuta kazi madera taxi za Ube

Kampuni ya kimarekani yenye kutoa huduma ya taxi, Uber, imearifu kwamba imewafuta kazi wafanyakazi wake 20 baada ya uchunguzi dhidi ya malalamiko ya unyanyasaji wa kijinsia na mambo mengine.
BBC inafahamu kwamba, baadhi ya waliofutwa ni wafanyakazi wa vyeo vya juu.
Timua hiyo inafuatia msururu wa kashfa kwa kampuni hiyo ya Uber ambayo imeibua maswali kuhusu mfumo wa biashara yake, The sackings follow a series of scandals.
Malalamiko mingi yametokwa kwa wafanyakazi katika ofisi zake za San Francisco. Uber imesema laini ya simu ya faragha kwa watumizi wake, iliyoanzishwa mwezi February, itaendelea kutumika ili kubadilisha jinsi watu wanavyofanya kazi katika shirika hilo.
Marekani

No comments:

Post a Comment

Designed By Published.. Blogger Templates