Breaking News

Sunday, April 16, 2017

Mtoto wa miaka 8 aendesha gari kununua chakula duka la McDonald's

Mtoto mmoja mvulana mwenye umri wa miaka minane katika jimbo la Ohio, aliendesha gari akiwa na dadake mdogo hadi duka la McDolad's baada ya kujifunza kuendesha gari kupitia mtandao wa YouTube.
Jarida na Morning Journal la Ohio lilisema kuwa polisi walipigiwa simu kutoka kwa wenyeji kuhusu mtoto ambaye alikuwa akindesha gari mjini.
Wafanyakazi katika mkahawa wa McDolad's walidhani kuwa ulikuwa ni mchezo wa kuigiza wakati mtoto huyo alisimamisha gari kwenye dirisha kununua chakula.
Mtoto huyo alifuata shera zote za barabara, mtu mmoja aliyeshuhudia alisema.
"Hakugonga chochote njiani, polisi Jacob Koeher kutoka kijiji cha East Palestine alisema

Mtoto wa miaka 8 aendesha gari kununua chakula

No comments:

Post a Comment

Designed By Published.. Blogger Templates